• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Njombe wapongezwa kutekeleza miradi kwa mapato ya Ndani

Tarehe iliyowekwa: July 24th, 2019

Naibu waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mwita Waitala ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Njombe kwa kutekeleza miradi ya maendeleo kwa mapato ya ndani pamoja na  kusaidia kuinua vijana wilayani hapa.

Pongezi hizo amezitoa wakati alipotembelea kikundi cha kupasua kokoto cha  Hilary Genuine Group kilichopo katika Kata ya Mtwango ambacho kimepewa mkopo wa milioni 20 na Halmashauri ya wilaya ya Njombe ikiwa ni sehemu ya mikopo ya vijana, wanawake na walemavu pamoja na mradi wa ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Itunduma kilichopo Kata ya Mtwango wilayani Njombe.

Akizungumza katika ziara hiyo mbali ya kuipongeza Halmashauri kwa kufanikisha kutoa mkopo kwa kikundi hicho, amewataka wataalamu wa Halmashauri kutoa ushauri wa namna ya kuzipanga kokoto katika madaraja tofauti ili kuongeza soko.

“Zipo Halmashauri hazijapeleka ata shilingi kwenye miradi ya maendeleo  wao kazi ni kujilipa posho za safari na semina lakini nyinyi nimeona miradi miwili, ujenzi wa zahanati pamoja na vijana ambapo mmepeleka pesa ya mapato ya ndani nawapongeza sana” alisema Wahitara.

“Nimeona mmetenga bajeti  ya milioni 20 kwa ajili ya zahanati hii sasa kuna hela zinaletwa toka serikali kuu  milioni 24 mtachanganya na hizo zenu ili muweze kumalizia zahanati hii na wananchi waweze kupata huduma” aliongeza Waitara

Mradi huu hadi kukamilika kwake utatumia zaidi ya milioni 111 ambapo hadi sasa zaidi ya milioni  46 zimekwishatumika  ambapo Halmashauri imepeleka jumla ya milioni 10 huku michango mingine ikiwa ni nguvu za wananchi, mfuko wa jimbo pamoja na wadau wa maendeleo.

Kwa upande wake mwenyekiti wa kikundi cha Hilary Genius Group , Hilary Shem Mgindo amesema kuwa fedha walizopewa mkopo na Halmashauri zimewasaidia sana katika kuwainua kimaisha.

“Mkopo huu umesaidia kuinua mradi wetu na mafanikio yapo mengi ikiwemo wanakikundi kuweza kununua viwanja na kujenga pamoja na kuboresha maisha yetu” Alisema Mgindo


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa