• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Masomo ya Kidato cha Tano yaanza kutolewa Shule za Itipingi na Lupembe Njombe

Tarehe iliyowekwa: August 25th, 2017

Katika kuboresha sekta ya elimu wilayani Njombe Halmashauri ya wilaya Njombe kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia  imefanikiwa kuanzisha masomo ya kidato cha tano  katika shule mbili za sekondari wilayani hapa.

Shule zilizopewa usajili na tayari zimeshaanza kupokea wanafunzi wa kidato cha tano mwaka huu  ni pamoja na shule ya Sekondari Itipingi iliyopo katika Kata ya Igongolo Tarafa ya Makambako  na shule ya Sekodari Lupembe iliyopo katika Kata ya Lupembe  Tarafa ya Lupembe.

Shule zote mbili tayari zimepewa wanafunzi wa mchepuo wa  sayansi huku Shule ya Sekondari Ipitingi ambayo imepata namba ya usajili  S.1094 ikiwa na wanafunzi mchanganyiko 40  na ile ya Lupembe yenye namba ya usajili S. 0210 ikipewa wanafunzi  wavulana  45.

Kufuatia kuanzishwa kwa masomo ya kidato cha tano katika shule hizo kunafanya Halmashauri ya Wilaya ya Njombe kuwa na shule tatu (3) za Serikali ambazo  zinazotoa masomo ya  kidato cha tano ambazo ni shule ya Sekondari ya  wasichana  Manyunyu iliyopo katika Kata ya Matembwe, Itipingi iliyopo kata ya Igongolo na Lupembe iliyopo kata ya Lupembe  huku upande wa shule za watu binafsi ni ile ya Mtwango iliyopo katika kata ya Mtwango.

Katika kuhakikisha wanafunzi wote wa shule za  Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Njombe wanaishi katika mabweni Halmashauri imefanikiwa kuanzisha huduma ya mabweni katika Shule ya Sekondari Ninga.

Kufuatia kukamilika kwa bweni katika shule hiyo  wanafunzi wa kidato cha pili na kidato cha nne wameanza kuishi katika mabweni pamoja na walimu watatu wakiamia katika nyumba za walimu zilizojengwa shuleni hapo ili kuwa jirani na wanafunzi.

Sambamba na hilo Halmashauri inaendelea na maandalizi ya ujenzi wa bweni katika shule ya Sekondari Sovi  kwa kushirikiana na wananchi ambapo hadi sasa zoezi la kufyatua tofali linaendelea.

Aidha , Halmashauri imeweka mipango kabambe ili kuhakikisha kila shule ya sekondari inakuwa na mabweni kwa wanafunzi wa jinsia zote ili kuinua kiwango cha ufaulu na kutokomea masuala ya mimba kwa wanafunzi wa shule za Sekondari.



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa