• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Halmashauri ya Wilaya ya Njombe yaanza ujenzi wa Hospitali

Tarehe iliyowekwa: February 6th, 2019


Halmashauri ya wilaya ya Njombe imeanza ujenzi wa Hospitali katika eneo la Matembwe baada ya kupata fedha kwa ajili ya ujenzi huo.

Tayari  Halmashauri imepokea kiasi cha 1,500,000 kwa ajili ya ujenzi wa majengo mbalimbali ambayo yatajengwa na  mafundi  wa kawaida kupitia  force account kwa kusimamiwa na wataalam kutoka katika Halmashauri.

Majengo yaliyopendekezwa kuanza ni pamoja na jengo la utawala,  jengo la wagonjwa wa nje (OPD), stoo ya dawa, Maabara, jengo la vipimo vya mionzi(x-ray),jengo la kufulia nguo(Laundry) na jengo la wazazi .

Hadi sasa eneo la mradi limeshasawazishwa kwa ajili ya kuanza kushimba msingi huku baadhi ya maandalizi ya  miundombinu muhimu ikiwemo kusogeza maji eneo la ujenzi ambapo wananchi wameshiriki uchimbaji wa mtaro wenye urefu wa kilometa mbili na nusu.

Kazi nyingine zilizofanyika ni pamoja na kujenga stoo ya muda na vyoo, Kutengeneza bango la mradi ,pamoja na Ufungaji wa solar katika banda la kuhifadhia malighafi zitakazotumika kwenye ujenzi yamekamilika.

Katika kufanikisha mradi huo Halmashauri imechangia kiasi cha milioni 20 kwa ajili ya kutekeleza shughuli mbalimbali ili kuweza kufanikisha ujenzi wa hospitali hiyo.

Aidha, vifaa kwa ajili ya ujenzi ikiwemo matofali, mawe, mchanga nondo pamoja na saruji zimeshafika eneo la mradi na uchimbaji wa msingi unatarajiwa kuanza muda wowote.

Kuanza kwa ujenzi wa hospitali hii utaboresha huduma za afya katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe kutokana na Halmashauri kutokuwa na hospitali hivyo kutegemea huduma hasa za upasuaji kutoka katika  kituo cha afya Lupembe pekee.

Halmashauri ya wilaya ya Njombe  ina jumla ya vituo 27 vya kutolea huduma za afya ambapo Vituo vya Afya viko 4  vyote vikiwa ni vya serikali, zahanati ziko 23 ambapo za serikalini zipo 19 na nne ni  za mashirika ya dini.





Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa