Tarehe iliyowekwa: January 24th, 2020
Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Njombe limepitisha mpango na bajeti wenye kiasi cha zaidi ya bilioni 26 kwa ajili ya kutekeleza shughuli mbalimbali katika mwaka wa fedha 2020/2021.
K...
Tarehe iliyowekwa: September 11th, 2019
Jumla ya wanafunzi 2173 wa darasa la saba wanatarajia kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kutoka katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe.
Katika mtihani huu unaotarajia kufanyika...
Tarehe iliyowekwa: August 8th, 2019
Halmashauri ya wilaya ya Wilaya ya Njombe imefanikiwa kutoa mshindi wa kwanza Mkoa wa Njombe na mshindi wa pili Kikanda katika kundi la wafugaji wa N'gombe wa maziwa na samaki kwenye maony...