Tarehe iliyowekwa: April 25th, 2018
Halmashauri ya Wilaya ya Njombe imezindua chanjo kwa ajili ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi ambapo zaidi ya wasichana 1,062 wanatarajiwa kupewa chanjo wilayani hapa.
Chanjo hiyo ambayo inatol...
Tarehe iliyowekwa: February 7th, 2018
Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Njombe limepitisha mapendekezo ya rasimu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 wilayani hapa.
Katika mapendekezo hayo baraza hilo limepitisha kiasi ch...
Tarehe iliyowekwa: January 16th, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Joseph Magufuli ametoa msaada wa vitanda, mashuka na magodoro kwa ajili ya vituo vya kutolea huduma za afya katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe.
...