Tarehe iliyowekwa: January 16th, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Joseph Magufuli ametoa msaada wa vitanda, mashuka na magodoro kwa ajili ya vituo vya kutolea huduma za afya katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe.
...
Tarehe iliyowekwa: November 29th, 2017
Halmashauri ya Wilaya ya Njombe imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 61 kwa vikundi vya wanawake na vijana ikiwa na lengo la kuongeza kipato na kuwainua kiuchumi.
Mikopo hiyo ambayo imet...
Tarehe iliyowekwa: November 17th, 2017
Katika kuboresha huduma za afya wilayani Njombe kituo cha afya cha Lupembe kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Njombe kimeanza huduma ya upasuaji kwa wakinamama wajawazito katika Kata hiyo.
K...