Tarehe iliyowekwa: July 18th, 2018
Halmashauri ya Wilaya ya Njombe inatekeleza ujenzi wa mradi mkubwa wa maji katika kijiji cha Kidegembye wilayani Njombe ambapo hadi kukamilika kwake utagharimu zaidi ya bilioni moja.
Ujenzi wa Mrad...
Tarehe iliyowekwa: April 25th, 2018
Halmashauri ya Wilaya ya Njombe imezindua chanjo kwa ajili ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi ambapo zaidi ya wasichana 1,062 wanatarajiwa kupewa chanjo wilayani hapa.
Chanjo hiyo ambayo inatol...
Tarehe iliyowekwa: February 7th, 2018
Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Njombe limepitisha mapendekezo ya rasimu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 wilayani hapa.
Katika mapendekezo hayo baraza hilo limepitisha kiasi ch...