Tarehe iliyowekwa: September 11th, 2019
Jumla ya wanafunzi 2173 wa darasa la saba wanatarajia kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kutoka katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe.
Katika mtihani huu unaotarajia kufanyika...
Tarehe iliyowekwa: August 8th, 2019
Halmashauri ya wilaya ya Wilaya ya Njombe imefanikiwa kutoa mshindi wa kwanza Mkoa wa Njombe na mshindi wa pili Kikanda katika kundi la wafugaji wa N'gombe wa maziwa na samaki kwenye maony...
Tarehe iliyowekwa: July 24th, 2019
Naibu waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mwita Waitala ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Njombe kwa kutekeleza miradi ya maendeleo kwa mapato ya ndani pamoja na...