• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Wanafunzi 2282 kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya Msingi Njombe

Tarehe iliyowekwa: September 5th, 2017

Jumla ya wanafunzi  2282 kutoka katika Halmashauri ya Wilaya Njombe watarajia kufanya mtihani wa Taifa wa kuhitimu elimu ya msingi unaotarajiwa kufanyika nchi nzima kuanzia Septemba 6 hadi 7 mwaka 2017.

Idadi hiyo inajumuisha wanafunzi wavulana 958 na wasichana 1324 kutoka shule 51 ambazo zinafanya mtihani katika Halmashauri ya Wilaya ya Njombe.

Wanafunzi wanaofanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka huu ni wale walioanza darasa la kwanza mwaka 2011 na tayari Halmashauri imefanya maandalizi ya msingi ili kufanikisha ufanyikaji wa mtihani huu ikiwemo kutoa mafunzo kwa wasimamizi 150 ambao watasimamia mtihani huu.

Katika mtihani unaofanyika sasa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe inatarajia kufaulisha kwa zaidi ya asilimia 85 tofauti na mwaka jana ambapo ufaulu ulikuwa kwa asilimia 75.7

Halmashauri ya Wilaya ya Njombe inatoa  wito kwa wanafunzi wote kufanya maandalizi ya kutosha, kujiamini kwa  kile walichosoma na kutofanya udanganyifu wa aina yoyote ile utakaopelekea kufutiwa matokeo yao na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Aidha, wazazi/walezi wanashauriwa kuwahamasisha watoto kufanya vizuri mitihani yao ambayo ni kwa manufaa ya maisha yao ya baadae. Sambamba na hilo wazazi wanatakiwa  kuhakikisha wanatoa vifaa vyote muhimu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi kufanya mitihani yao vizuri ikiwemo kalamu, rula, mkebe pamoja na vifaa vingine vinavyoruhusiwa katika mtihani.

Kwa upande wa mwaka jana jumla ya wanafunzi 1940 wavulana 849 na wasichana 1096 walifanya mtihani wa darasa la saba kutoka katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe  na ufaulu ulikuwa kwa asilima 75.7 na kufanya Halmashauri kushika nafasi ya 4 kwa mkoa wa Njombe.

Halmashauri ya Wilaya ya Njombe inajumla ya shule za Msingi  53 ambapo shule moja ni ya binafsi na shule 52 zikiwa za serikali. Katika mtihani unaofanyika mwaka huu shule mbili hazifanyi mtihani huo kutokana na kutokuwa na wanafunzi wa darasa la saba.



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa