• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Wanafunzi 2173 kufanya mtihani wa kumaliza darasa la saba Halmashauri ya wilaya ya Njombe

Tarehe iliyowekwa: September 11th, 2019

Jumla ya wanafunzi 2173 wa darasa la saba  wanatarajia kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kutoka katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe.

Katika mtihani huu unaotarajia  kufanyika kote nchini kuanzia septemba 11 hadi 12  jumla ya wavulana 948 na wasichana 1225 wanatarajia kufanya mtihani huu kutoka katika shule 52 za serikali kati ya shule 55 za msingi zilizopo katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe.

wanafunzi ambao wanafanya mtihani huu ni wale walioingia darasa la kwanza mwaka 2013 ambapo jumla ya wanafunzi 2,659 waliandikishwa, wavulana wakiwa 1225 na wasichana 1434.

Tayari maandalizi yote muhimu kwa ajili ya ufanyikaji wa mitihani huo ikiwemo upelekeji wa mitihani katika vituo teule vya kuhifadhia mitihani yameshafanyika.

Halmashauri ya Wilaya ya Njombe inapenda kutoa wito kwa wazazi, na walezi wa wanafunzi wanaotarajia kufanya mtihani kuhakikisha wanawapatia watoto wao mahitaji muhimu yatakayowawezesha kufanya mtihani katika hali ya utulivu.

Wito unatolewa  kwa wanafunzi wote wanaotarajia kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi  kutojiusisha na mbinu zozote zile za udanganyifu wakati wa kufanya mtihani ambazo zitapelekea kufutiwa matokeo yao.

Sambamba na hilo wasimamizi wa mitihani wanatakiwa kuhakikisha wanasimamia  kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za mitihani pamoja na utumishi wa umma  ila kuhakikisha mitihani inafanyika na kumalizika bila dosari yoyote.

Katika mtihani uliofanyika Mwaka 2018 jumla ya wanafunzi 2278  kutoka katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe walifanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi ambapo wavulana walikuwa 1032 na wasichana 1246 huku kiwango cha ufaulu kikiwa ni asilimia 74.65

Aidha, kwa mwaka 2019 Halmashauri ya wilaya ya Njombe inatarajia kufaulisha kwa zaidi ya asilimia 80.



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa