• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Mnada wa mifugo waanzishwa Njombe

Tarehe iliyowekwa: March 21st, 2017

Katika kuhakikisha wakulima na wafugaji wanakuwa na soko la uhakika la kuuza bidhaa na mifugo yao Halmashauri ya Wilaya ya Njombe imeanzisha mnada wa mifugo katika Kijiji cha Ilunda Kilichopo katika kata ya Mtwango wilayani Hapa.

Kuanzishwa kwa mnada huu amboa utakuwa ukifanyika kila tarehe 12 ya kila mwezi kutawawezesha wafugaji  kuuza mifugo yao pamoja na wanunuzi kupata sehemu ya uhakika ya kununua mifugo kwa ajili ya ufugaji na lishe.

Mnada huu ni moja ya mikakati ya Halmashauri ya kuwainua wananchi wake kiuchumi kwa kuwawekea mazingira bora ya kuuza na kununua bidhaa mbalimbali.

Toka kuanzishwa kwa mnada huu mwitikio umekuwa mzuri ambapo wananchi mbalimbali wamekuwa wakiuza bidhaa ikiwemo mbogamboga na matunda huku kivutio kikubwa kikiwa ni nyama ya mbuzi ambayo imekuwa ikichomwa kwa ustadi wa hali ya juu na watu  wa jamii ya wamasai kutoka Mbalili Mkoani Mbeya ambapo kila siku ya mnada huwa wanashiriki.

Upande wa mifugo ambayo imekuwa ikiletwa kwa ajili ya kuuzawa ni apamoja na ng’ombe, mbuzi pamoja na kuku.

Halmashauri ya Wilaya ya Njombe imeweka mikakati madhubuti katika kuboresha mnada huo na kuufanya kuwa mnada mkubwa katika mkoa wa Njombe. Tayari Halmashauri imeshaboresha vitu vya muhimu ikiwemo miundombinu ya choo na maji ya uhakika.

Halmashauri ya wilaya ya njombe inatoa wito kwa wananchi wote kutembelea katika mnada wa Ilunda ili kuweza kujipatia kitoweopamoja na kujifunza mambo mbalmbali kutoka kwa wakulima na wafugaji kutoka sehemu mbalimbali za mkoa wa Njombe, mbeya na Iringa.

 Aidha wakulima na wafugaji wanashauriwa kupeleka mifugo na bidhaa zao katika mnada wa Ilunda kila tarehe 12 ya kila mwezi kwa kuwa ni sehemu ya uhakika ya kuuza mifugo na bidhaa zao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa