• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

TASAF yajenga shule ya Mfano kijiji cha Ikondo

Tarehe iliyowekwa: February 4th, 2019

Kijiji cha Ikondo kilichopo katika  Halmashauri ya Wilaya ya Njombe kipo umbali wa kilometa 90 kutoka makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya. Kijiji hiki kinachopatikana  katika kata ya Ikondo,Tarafa ya Lupembe kina  watu 4,025 kati yao  wanawake ni 2,228 na wanaume ni 1,797

Mwaka 2018 kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF)  kijiji hiki kilipewa  fursa ya kuibua miradi mitatu ya miundombinu.

Kupiti fursa hiyo kilichagua ujenzi wa madarasa 5, matundu 12 ya vyoo ofisi moja ya walimu pamoja na nyumba mbili za walimu (Two in one) zimejengwa kwa awamu na  zinagharimu kiasi cha 215,627,896.80

Mradi wa Ujenzi wa Madarasa 3 na matundu 6 ya vyoo umegharimu  kiasi cha 72,041,202.36, Mradi wa Ujenzi wa Madarasa 2,Ofisi moja  ya walimu na matundu 6 ya vyoo huku mradi wa ujenzi wa nyumba 2 (two in one) za walimu na vyoo ukigharimu zaidi ya milioni 71.

Madarasa yanayojengwa  yanahusisha  madawati na fenicha nyingine muhimu kwa ajili ya wanafunzi kuwa na mazingira bora ya kujifunzia  pamoja na walimu kufundisha.

Kutokana na uhitaji mkubwa wa shule wananchi wa walipangiana zamu katika kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kuchimba msingi, kuleta mawe pamoja na kufyatua tofali.

Kwa sasa ujenzi umepamba moto ambapo tayari madarasa matatu pamoja na vyoo 6 vimekamilika huku madarasa yaliyobaki yako katika hatua za ukamilishaji  na mwezi Februari wanafunzi wataanza kusoma.

Mbali na kupata faida ya kujengewa shule na TASAF, kijiji cha ikondo kina wanufaika Jumla ya kaya za walengwa 202 zimehawilishiwa fedha  kiasi cha  shilingi 109,948,000.00 kwa awamu 20 za malipo.

Fedha hizo zimewawezesha kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo na kufuga na kujiongezea kipato.



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa