• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Shamba Darasa la miti kuwanufaisha wananchi Njombe

Tarehe iliyowekwa: March 25th, 2017

Katika kutambua umuhimu wa kutoa elimu kwa njia ya vielelezo na kutunza mazingira Halmashauri ya wilaya ya Njombe, imeanzisha kitalu cha miche ya miti katika kijiji cha Lunguya kilichopo Kata ya  Mtwango wilayani Njombe.

Hadi sasa jumla ya miche ya miti aina ya mikalatusi 16,920 tayari imependwa katika kitalu hicho na inasimamiwa  na wataalamu kutoka katika Halmashauri.

Kuwepo kwa kitalu hiki kunaongeza wigo wa utoaji wa elimu ya ugani-misitu kwa vitendo katika maeneo ya Halmashauri ya wilaya pamoja na kuongeza kasi ya utunzaji wa mazingira.

Halmashauri imeanzisha kitalu hiki ikiwa ni moja ya mkakati wa uwekezaji  ili kuiongezea mapato pamoja na kuongeza nguvu ya kuzisaidia taasisi za elimu kukabiliana na uhaba wa madawati na vikundi mbalimbali vyenye mahitaji maalum ya kuanzisha mashamba ya miti.

Msimu huu wa  mvua Halmashauri itasambaza miche 1000 kwenye kila Kata  kwa ajili ya kuigawa kwenye kila shule  ili iweze kutumika kutengenezea madawati na meza hapo baadae pamoja na taasisi mbalimbali za Umma kwenye maeneo ya Kata.

Sambamba na hilo Halmashauri inatarajia kusambaza miche iliyooteshwa kwa vikundi vya kijamii ikiwemo yatima, vijana na wanawake ili kuongeza nguvu ya kipato kwa makundi mbalimbali na mingine itauzwa kwa ajili ya kuongeza mapato.

Katika kuhakikisha kuwa mpango huu unakuwa endelevu Halmashauri ya Wilaya ya Njombe imeweka mikakati ya kupanua wigo wa uoteshaji wa miche ya miti kwa kuongeza ukubwa wa kitalu  pamoja na kufanya mipango ya kuanzisha kitalu kingine katika Kata ya Matembwe.

Halmashauri inatarajia kupanua wigo wa aina ya miche inayooteshwa ikiwemo ile inayokuwa haraka pamoja na miti rafiki ya maji kwa ajili ya kupanda kwenye vyanzo vya maji,miche ya matunda,  mapambo , kivuli na mazao mengine ya misitu.

Aidha, Halmashauri inatarajia kuanzisha shamba la miti lenye zaidi ya hekari 1000 katika kijiji cha nyave ikiwa ni sehemu ya uwekezaji wa Halmashauri katika sekta ya misitu.

Tangu kuanzishwa kwa kitalu hiki wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya  Halmashauri wamekuwa wakijitokeza kwa nyakati tofauti kupata elimu  ya uanzishaji wa kitalu cha miti, usimamizi na uendeshaji, elimu ambayo inatolea bure kwa wananchi wote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa