• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Mkuu wa Mkoa wa Njombe apiga marufuku wanafunzi kukaa kwenye nyumba za kupanga

Tarehe iliyowekwa: August 17th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amepiga marufuku wanafunzi wa Shule za Sekondari wilayani Njombe kukaa kwenye nyumba za kupanga maarufu kama jina la  gheto.

Akizungumza katika baraza maalumu la madiwani la kujadili taarifa na mpango kazi wa hoja za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016 katika Halmashauri ya Wilaya Njombe, Ole sendeka alisema ni marufuku kwa wazazi kuwapangia watoto wao vyumba katika nyumba zilizo karibu na shule na kuwaagiza madiwani kufuatilia na kufikisha taarifa kwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi Ruth Msafiri kwa wazazi wanaokaidi agizo hilo.

“Watoto wa shule wanaokwenda kupangishiwa vyumba vya kupanga “magheto” na wanakuwa wanatoka hapo kwenda shule hilo napiga marufuku na sio sahihi, ni jukumu letu sisi kufuatilia, msaidieni Mkuu wa Wilaya kwa kumfikishia taarifa ili aweze kuchukua hatua sahihi.”Alisema Ole Sendeka

Ole sendeka aliongeza kuwa Mkoa wa Njombe una neema ya hali nzuri ya hewa, vitega uchumi, na vyakula vingi hivyo viongozi wa Kata husika wahakikishe watoto wote wa Shule za Msingi na Sekondari wanapata chakula cha mchana shuleni.

Aliwataka madiwani kushirikiana na wazazi katika maeneo yao kuweka mikakati ya kujenga mabweni ili wanafunzi wawe katika hali ya usalama na kuweka mkazo kwenye masomo jambo litakaloongeza ufaulu.

Wakati huohuo Mkuu wa Mkoa wa Njombe amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi. Ruth Msafiri kufuatilia watumishi wenye vyeti feki na mishahara hewa ili wafikishwe kwenye vyombo vya sheria.

“Nimemuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe aniletee orodha ya watumishi na watu wengine waliochukua fedha za serikali pasipo kustahili ili wachukuliwe hatua stahiki” Alisisitiza Ole Sendeka

Aidha, Aliziagiza Halmashauri kuhakikisha zinafuatilia madeni ya SACCOS ili yarejeshwe kwa wakati huku akizitaka  Halmashauri kupeleka asilimia 20 ya fedha vijijini kwa wakati na asilimia 10 ambazo 5 za mfuko wa maendeleo ya vijana na 5 za mfuko wa maendeleo ya wanawake.

“Fedha hizo lazima zipelekwe kwa wakati ili kusaidia maendeleo katika maeneo ya msingi lakini lazima  kuanza kufuatilia vyama vya ushirika na SACCOS jinsi vinavyoji

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa