• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Kituo cha Afya Lupembe chaanza Huduma ya Upasuaji

Tarehe iliyowekwa: November 17th, 2017

Katika kuboresha huduma za afya wilayani Njombe kituo cha afya cha Lupembe kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Njombe kimeanza huduma ya upasuaji kwa wakinamama wajawazito katika Kata hiyo.

Kuanza kutolewa kwa huduma hiyo ni ukombozi kwa wananchi wa Kata ya Lupembe pamoja na Tarafa ya Lupembe na kutasaidia kuzuia na  kupunguza vifo vya kinamama na watoto kutokana na kutokuwepo kwa huduma hiyo katika maeneo hayo.

Tangu huduma ya upasuaji wa kinamama wajawazito kuanza kutolewa katika kituo cha afya Lupembe jumla ya wakinamama wajawazito  13 tayari wamefanyiwa upasuaji na wote wanaendela vizuri.

Hadi kukamilika kwake wodi ya upasuaji imegharimu zaidi ya Milioni 26 na Halmashauri kwa sasa imejikita katika kukamilisha wodi ya kinamama na watoto katika kituo hicho.

Akizungumzia mafanikio hayo katika sekta ya afya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Njombe Bi Monica Kwiluhya alisema kwa sasa Halmashauri imejikita kuhakikisha inakamilisha jengo la mama na mtoto katika kituo cha afya Lupembe.

“Tumefanikiwa kuanzisha huduma ya upasuaji katika kituo cha Afya Lupembe sasa tumejikita kutafuta jenereta ili huduma ya upasuaji ifanyike kwa ufanisi lakini tutakamilisha jengo la mama na mtoto hivi karibuni” alisema Bi Kwiluhya

Aidha, Halmashauri ya wilaya ya njombe kwa sasa imeweka kwenye bajeti kwa ajili ya kujenga chumba cha upasuaji katika kituo cha afya Kichiwa ili kuboresha sekta ya afya wilayani hapa.

Halmashauri ya wilaya ya Njombe inajumla ya vituo vya afya 4 pamoja na vituo vya kutolea huduma za afya 23 na kituo cha afya Lupembe kinakuwa kituo cha kwanza kutoa huduma ya upasuaji.

Sambamba na kutenga bajeti ya kujenga hospitali ya wilaya  Halmashauri inaendelea na ukamilishaji wa  vituo vya kutolea huduma katika kila kijiji wilayani hapa.

Halmashauri ya Wilaya ya Njombe inajumla ya kata 12 na vijiji 45.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa