• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
NJOMBE DISTRICT COUNCIL
NJOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maliasili na Ardhi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Vijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Misitu na Upandaji Miti
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Uwezeshaji kwa Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyopendekezwa.
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio
    • Gazeti/Jarida

Rais Magufuli atoa msaada wa Vitanda Njombe

Tarehe iliyowekwa: January 16th, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Joseph Magufuli ametoa msaada wa vitanda, mashuka na magodoro kwa ajili ya vituo vya kutolea huduma za afya katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe.

Msaada uliotolewa ni pamoja na vitanda 20 vya kulalia wagonjwa, magodoro 20, vitanda 5 kwa ajili ya kujifungulia wakinamama wajawazito pamoja na mashuka 50 ambayo yatasaida kuboresha mazingira ya wagonjwa wanapolala wakati wakipatiwa huduma za afya.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya vifaa hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Bi Monica Kwiluhya amemshukuru Rais Magufuli kwa msaada huo ambao utaboresha utoaji wa huduma za afya kwenye Halmashauri.

“Msaada huu umekuja wakati muafaka na kwaniaba ya Halmashauri napenda kutoa shukrani kwa mheshimiwa rais Magufuli, aidha Halmashauri imefanya mgao huo wa vifaa tiba kwa kuzingatia maeneo yenye uhaba mkubwa na maeneo yenye mzigo mkubwa wa wagonjwa.” Alisema Bi Kwiluhya.

“Halmashauri kwenye mipango yetu inaendelea kutenga bajeti kwa ajili ya kupunguza tatizo la vifaa tiba ingawa hatuna upungufu mkubwa na kwa sasa tuko kwenye bajeti tunatarajia kuweka ujenzi wa hospitali ili kuboresha huduma za afya  hivyo tunahitaji wahisani wengine waweze kutusaidia vifaa tiba.” aliongeza Kwiluhya.

Kwa upande wake mbunge wa Jimbo la Lupembe lililopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Njombe ambaye alimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi Ruth Msafiri katika makabidhiano hayo alisema anamshukuru Rais kwa kutimiza ahadi aliyoitoa kwa wabunge ya kusaidia sekta ya afya nchini.

“Msaada huu umekuja wakati muafaka na ninaomba wananchi wamuunge mkono mkuu wan chi, kama unataka kutoa sadaka yenye thawabu basi changia huduma za afya ili kuweza kuokoa maisha ya watu wengi” alisema Hongoli.

“Tumeanzisha huduma za upasuaji wakinamama wajawazito katika kituo cha afya Lupembe msaada huu utasidia sana kupunguza tatizo la vifaa tiba katika kituo hicho kwani sasa kinapata wagonjwa wengi ambao zamani walikuwa wanalazimika kusafiri umbali wa takribani kilometa 60 kwa ajili ya kufuata huduma hii.”

Kabla ya msaada huu mahitaji ya vitanda katika vituo 27 vya kutolea huduma za afya vilivyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Njombe yalikuwa ni 91 huku vitanda 71 vikiwepo hivyo kufanya upungufu wa vitanda 20 kwa sasa. Upande wa vitanda vya kujifungulia mahitaji ni 46 vilivyopo sasa baada ya msaada ni 36 na kuwa na upungufu wa vitanda 50.



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA February 26, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KUANDIKA TAREHE 28-29/12/2020 December 19, 2020
  • TANGAZO MABADILIKO ENEO LA KUFANYIA USAILI December 25, 2020
  • TAARIFA KWA UMMA-TANZIA February 03, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE YAKOMBA MILIONI 20 MSHINDI WA KWANZA USAFI TANZANIA.

    April 08, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA NJOMBE, MHE.JUMA SWEDA AKIOGEA NA WAFANYAKAZI WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI

    February 07, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE WAMETEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2025
  • KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA NJOMBE(DCC), DC KISSA AUNDA KAMATI MAALUMU KUCHUNGUZA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA VIWANDA VYA CHAI WILAYA YA NJOMBE

    January 24, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Biashara
  • Huduma za Afya
  • Jarida/Gazeti

Viunganishi Linganifu

  • President's Official Website
  • President's Office,Public Service Management and Good Governance
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • National Bureau of Statistics(NBS)
  • Tanzania Information Services-Maelezo
  • Government Portal

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Mtaa wa Idundilanga,Barabara ya Songea,Karibu na NMB.

    Anuani ya Posta: S.L.P 547 Njombe

    Namba ya Simu: +255 26 2782111

    Simu Kiganjani:

    Barua pepe: ded@njombedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Haki zote zimehifadhiwa